AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA III – 54 POST AT MDAs & LGAs

by Udahiliportaldaily

POST DETAILS

POST AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA III – 54 POST
EMPLOYER MDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE: 2023-02-13 2023-02-19

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kushirikiana na wakulima kuendesha mashamba ya majaribio na mashamba darasa;

ii. Kutembelea wakulima/vikundi vya wakulima katika mashamba yao na kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya mbinu bora na za kisasa za kilimo cha kibiashara;

iii. Kufundisha na kuelekeza wakulima juu ya matumizi bora ya mbolea, madawa na zana za kilimo;

iv. Kukusanya na kutunza takwimu za hali ya kilimo katika Kijiji,

v. Kubuni na kuandaa vihenge vya kisasa vya hifadhi ya mazao na kutoa elimu ya matumizi sahihi ya mazao;

vi. Kutoa taarifa juu ya dalili za kuwepo visumbufu vya mimea na mazao;

vii. Kuandaa na kutumia daftari la kilimo katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku;

viii. Kushiriki katika mchakato wa kuibua fursa na vikwazo vya maendeleo (Opportunities and Obstacles for Development (O & OD) na kuandaa mpango wa maendeleo ya kilimo wa kijiji (Village Agricultural Development Plan (VADP), na

ix. Kuandaa taarifa ya utekelezaji ya kila mwezi kuiwasilisha kwa Afisa Ugani wa Kata na nakala kuiwasilisha kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji.

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa waliohitimu kidato cha nne wenye Astashahada ya Kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.

 

REMUNERATION TGS B

APPLY HERE

 

Related Posts

Adblock Detected

Please support us by disabling your AdBlocker extension from your browsers for our website.