TANZANIA COMMISSION FOR SCIENCE AND TECHNOLOGY
2018 Call on Opportunities for Fostering Innovation
1.0 Introduction
The Commission for Science & Technology (COSTECH) and The Human Development Innovation Fund (HDIF) invite applications for the 2018 call on “Opportunities for Fostering Innovation”. COSTECH and HDIF are in collaboration to fund creativity and innovation generated from innovative ideas of citizens and institutions of Tanzania through a competitive call. The initiative is jointly funded by the United Kingdom’s Department for International Development (DFID). The aim of the Call is to strengthen the innovation ecosystem in Tanzania through facilitating the building up of capacity to innovate amongst researchers, private entrepreneurs, innovators and others.
2.0 Purpose
The purpose of this Innovation Fund is to provide financial support to implement innovative projects, which could contribute to the social-economic development of Tanzania. This will provide financial support to the enterprise domain and research community to contribute to the technological advancement and innovation in Tanzania. The fund is a limited resource made available for an agreed set of focused activities with clear deliverables.
3.0 The Context
The Innovation Fund is a tool to create platforms for innovative activities by providing incentives for collaboration, support innovation intermediaries’ roles and improve relevance and dissemination of new technologies, productive partnerships, and links to markets. It aims to bridge the gap in financing for innovation processes and supports innovators and their links to public institutions, private entrepreneurs and other key actors such as producers and service providers.
4.0 Commencement Date 9th August, 2018
5.0 Closing Date 8th September, 2018 @ 15:00hrs
6.0 Who can Apply
The fund will be provided to support innovations from three categories namely:
i. Innovation from researchers
ii. Innovation from innovators in enterprises and organizations
iii. Innovation developed jointly by researchers and entrepreneurs.
7.0 Types of funding Schemes
7.1 Prototype Development: The purpose of this funding scheme is to assist an applicant or innovator to advance their research and technological outputs to develop prototypes, establish proof of concept and validate business cases.
7.2 Technology Development: This fund assists innovators to advance technologies along the innovation value chain, from proof of concept/prototype to technology demonstration. The focus is on the activities that will make early stage technology development more attractive and reduce market risk.
7.3 Commercialization: This funding scheme is designed to support market testing and validation. The purpose is to connect technology innovators to onward business and investment opportunities.
8.0 Fundable activities for each funding scheme
8.1 Prototype Development
a) Development of minimal viable solution b) Protecting Intellectual Property (IP) c) User Acceptance Test d) Validation of Idea/Primary market research
8.2 Technology Development
a) Development of the final solution b) Demonstration and piloting solution c) Support for certification activities d) Protection of Intellectual Property (IP)
8.3 Commercialization Support Fund a) Acquiring required approved certification and licenses b) Business Plan development c) Promotion and marketing activities d) Up scaling e) Contract management f) IP management.
9.0 Assessment Criteria
The relevance of the proposal to call objectives needs to be conclusively established. The proposal relevant to call objectives will be evaluated based on the following criteria:
9.1 Innovation
i. Novelty of the proposed work
Funded by
ii. Newness of the product, service or business model in Tanzania OR a Significant improvement in an available product, service or business model iii. Newness in a way to make an existing product or service available to the targeted group iv. Competitiveness of the product or service in the market
9.2 Viability
i. Needs assessment and demand for proposed work ii. Affordability of the solution be to the targeted end user group iii. Sustainability of the project beyond the funding period iv. Practicability and how realistic is the innovation
9.3 Impact
i. Scientific appropriateness of deliverable of proposed approaches and
technical merit ii. The societal impacts aimed to achieve through the project. iii. How the project will minimize negative impacts
9.4 Team effectiveness
The team could be an individual or a group of persons.
i. Availability and accessibility of necessary competences ii. Commitment of the team members’ innovation project.
9.5 Commerciability and competitiveness of the application
i. Does the innovation have potential for commercialization? ii. Competitiveness of the Innovation
10.0 Grant period: Up to 12 months (2018-2019)
11.0 Grant amount per project: Maximum of TZS 40,000,000. About 15 successful innovative projects will be funded. Maximum of four project (4) from researchers, four (4) from innovators in enterprises; and seven (7) from jointly project by researchers and entrepreneurs.
12.0 Application process
12.1 It is important that applications are submitted through the COSTECH email account to be provided by COSTECH. Completed application packs must be submitted to COSTECH through this E-mail: innovationfund@costech.or.tz
For further information, please visit the website: www.costech.or.tz
NOTE: This is for submission of applications ONLY.
12.2 Application packs must include: Fully executed copies of completed application forms. Incomplete application forms will not be assessed. All fields in the Application Form should be completed. Application packs received after the due date will not be considered. The application forms are available through the COSTECH website. 12.3 The project’s budget should not exceed the amounts stipulated per project in
the investment parameters set out in paragraph 10 above. 12.4 If Applicants are submitting via a host institution (legal entity) they should submit a letter from the institution. For successful applicants, all project funds will be disbursed through host bank account. 13.0 Gender Consideration: This is among the affairs for consideration during team composition and implementation of the project. The proposal must show how it will have an impact in both men and women, as well as indicate the strategic action for inclusiveness of the less represented gender.
14.0 Language: Applications may be submitted in Kiswahili or English Language.
15.0 Inquiries and Application forms: To get application forms and further enquiries please use the below link: https://goo.gl/forms/rSVQyTm27cJTpX2X2. Application forms can also be downloaded in the COSTECH website: www.costech.or.tz
USEFUL LINKS (COSTECH TANZANIA)
Maelezo kwa Kiswahili
Call-for-Innovation-Proposals-HDIF-Final-Kiswahili
Fomu ya Kiswahili
Application-Form-kiswahili
Maelezo kwa Kingereza
Call-for-Innovation-Proposals-HDIF-Final-english
Fomu kwa Kingereza
Application-Form-English
Swahili version
72 comments
Mimi wazo lqngu ni kufungua biashara ya kusaga unga wa mahindi, muhogo na biashara ikienda vizuri ngano juice maji na nk, tayari nimeshasajili compyan yangu jina maftaha general supplies limited, na tayari ninayo tin number tatizo kubwa nililonalo Ni mtaji wa kuanza biashara nashukuru kwa kuliona hili na kuweza kutusaidia tuweze kutimiza ndoto zetu za kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda, Asante Sana
Maftaha Yusufu msemakweli
Phone namba 0754 013336
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Mimi wazo lqngu ni kufungua biashara ya kusaga unga wa mahindi, muhogo na biashara ikienda vizuri ngano juice maji na nk, tayari nimeshasajili compyan yangu jina maftaha general supplies limited, na tayari ninayo tin number tatizo kubwa nililonalo Ni mtaji wa kuanza biashara nashukuru kwa kuliona hili na kuweza kutusaidia tuweze kutimiza ndoto zetu za kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda, Asante Sana
Maftaha Yusufu msemakweli
Phone namba 0754 013336
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
0715591845
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
0715591845
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Habar mm naitwa Emmanuel tryphone wazo langu ni LA welding machine Nina ofc tayar ila vifaa vya kisasa cna japokua baadhi ya vijana wanapitia kwangu kujifunza na changamoto inakua ni vifaa Nina vitendea kazi vichache nilikua naomba mtaji wa kuendeleza hili jambo ili nitimize ndoto zangu asnte
Emanuel tryphone
0656673900
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Habar mm naitwa Emmanuel tryphone wazo langu ni LA welding machine Nina ofc tayar ila vifaa vya kisasa cna japokua baadhi ya vijana wanapitia kwangu kujifunza na changamoto inakua ni vifaa Nina vitendea kazi vichache nilikua naomba mtaji wa kuendeleza hili jambo ili nitimize ndoto zangu asnte
Emanuel tryphone
0656673900
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Mimi nina taka kufanya biashara ya mchele toka morogoro Kuja daresalaam, ambapo soko nilishatafuta tayar sehemu ya kupata mzigo tayari tatizo hela ya mtaji tu, nilitaka nianze japo na Tani mbili au tatu ambazo zinaweza kugharim kuanzia sh 4m, hivyo nikifanikiwa kupata hii nitawauzia walaji wadodogo wadogo na jumla, na pia nitaweza kuajir vijana kuazia watatu hivyo kuongeza pato la taifa, na pia nitaweza kutengeneza faida ya kuanzia milioni kwa mwezi mmoja na kuendelea, nipo temeke 0714831391/076210485/amedeustarumo@gmail.com
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Mimi nina taka kufanya biashara ya mchele toka morogoro Kuja daresalaam, ambapo soko nilishatafuta tayar sehemu ya kupata mzigo tayari tatizo hela ya mtaji tu, nilitaka nianze japo na Tani mbili au tatu ambazo zinaweza kugharim kuanzia sh 4m, hivyo nikifanikiwa kupata hii nitawauzia walaji wadodogo wadogo na jumla, na pia nitaweza kuajir vijana kuazia watatu hivyo kuongeza pato la taifa, na pia nitaweza kutengeneza faida ya kuanzia milioni kwa mwezi mmoja na kuendelea, nipo temeke 0714831391/076210485/amedeustarumo@gmail.com
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
TANZANIA YA WAJIBU KWA MAENDELEO YA WOTE.
TANZANIA YA WAJIBU KWA MAENDELEO YA WOTE.
“TANZANIA YA WAJIBU KWA MAENDELEO YA WOTE”. Serikali isisitize wajibu kwa kila mtanzania mwenye uwezo wa kufanya kazi ili tuweze kupata maendeleo ya watanzania wote .
“TANZANIA YA WAJIBU KWA MAENDELEO YA WOTE”. Serikali isisitize wajibu kwa kila mtanzania mwenye uwezo wa kufanya kazi ili tuweze kupata maendeleo ya watanzania wote .
Mim ndoto zangu ni kufyatua/kupga tofali za kuchoma ambazo hazitumii saruji kwan maeneo ninako ishi 96% ya ujenz wa nyumba unatumia tofal za udongo hivyo basi nikipata mtaji wa kulipia eneo ili nichimbe udongo na kununua kuni za kuchomea kama tanuri 3 au 4 hivi nitakua nimepga hatua sana ,0625754532
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Mim ndoto zangu ni kufyatua/kupga tofali za kuchoma ambazo hazitumii saruji kwan maeneo ninako ishi 96% ya ujenz wa nyumba unatumia tofal za udongo hivyo basi nikipata mtaji wa kulipia eneo ili nichimbe udongo na kununua kuni za kuchomea kama tanuri 3 au 4 hivi nitakua nimepga hatua sana ,0625754532
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
My best idea is to invest in agricultural activities,, example to cultivate sunflower crops used in production of cooking oil some can be used within and surplus can be exported,,since our country vision now is Tanzania ya Viwanda sasa,,,because our industry needs raw material end those raw material are found in agricultural activities.
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
My best idea is to invest in agricultural activities,, example to cultivate sunflower crops used in production of cooking oil some can be used within and surplus can be exported,,since our country vision now is Tanzania ya Viwanda sasa,,,because our industry needs raw material end those raw material are found in agricultural activities.
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
My no. 0767152273
My no. 0767152273
Mimi wazo langu ni kufungua kiwanda kwa sababu viwanda ndivyo vinaifanya nchi kukua haraka kiuchumi .
Binafisi naona kiwanda ndio kila kitu kwa kutufanya tuwe matajiri wakubwa hapa Tanzania
*unajua kiwanda kina tegemea sana kilimo ambacho kinaweza kumfanya mkulima kuona kua chao analo zalisha ni lathamani sana kwake ,
mfano ukifungua kiwanda cha mafuta kitapelekea vijana wengi kujikita kwenye shughuli za uzalishaji wa mazao kwa ajili ya mafuta kama vile alizeti,karanga ,pamba na mazao mengine yatazalishwa kwa wingi nchini kwetu.
*Pia kiwanda kitawafanya vijana wengi kujikita na shughuli za usafilishaji wa mazao ghafi na kufungua mwanya mwingine wa kijana kujipatia kipato.
*Kiwanda kinaweza toa ajila nyingi zaidi kwa vijana kwa sababu ili kiwanda kiendeshwe kinahitaji watu wa kutosha ambapo itakua imepelekea kupungua kwa wimbi la ukosekanaji wa ajira kwa vijana wanao toka vyuoni na waliopo mtaani
*Kiwanda pia kitaisaidia serikali kupata mapato kutokana na tozo za makato ya mishahara kwa wafanya kazi (VAT)wake na kuipelekea nchi yetu kuzidi kukua kiuchumi.
*Kiwanda pia kitapelekea kwa baadhi ya sekta kupata malipo kutokana na kua kiwanda kitakua kiki tegemea zaidi sekta hizo.mfano shilika la umeme litapata pesa kutokana na kiwanda ,shilika la maji,mashilika ya afya Taasisi za kifeza nazo zitapata asilimia fulani kutokana na kuwepo kwa kiwanda.
Hakika kiwanda ndo kila kitu nchi nyingi zilizo fanikiwa kiuchumi ukiangalia sili ya mafanikio yake kubwa imetokana na viwanda,mfano Uchina,Japan,Marekani ,Vetnam,Ujerumani na nchi nyingine nyingi .
Kwa kweli kiwanda kwangu naona ndio njia pekee ya kukua kiuchumi hapa Tanzania na kitatoa ajira nyingi sana kwa vijana kuliko sekter nyingine .??????ndo kila kitu jamani tuacheni masihara bwana.
Mimi wazo langu ni kufungua kiwanda kwa sababu viwanda ndivyo vinaifanya nchi kukua haraka kiuchumi .
Binafisi naona kiwanda ndio kila kitu kwa kutufanya tuwe matajiri wakubwa hapa Tanzania
*unajua kiwanda kina tegemea sana kilimo ambacho kinaweza kumfanya mkulima kuona kua chao analo zalisha ni lathamani sana kwake ,
mfano ukifungua kiwanda cha mafuta kitapelekea vijana wengi kujikita kwenye shughuli za uzalishaji wa mazao kwa ajili ya mafuta kama vile alizeti,karanga ,pamba na mazao mengine yatazalishwa kwa wingi nchini kwetu.
*Pia kiwanda kitawafanya vijana wengi kujikita na shughuli za usafilishaji wa mazao ghafi na kufungua mwanya mwingine wa kijana kujipatia kipato.
*Kiwanda kinaweza toa ajila nyingi zaidi kwa vijana kwa sababu ili kiwanda kiendeshwe kinahitaji watu wa kutosha ambapo itakua imepelekea kupungua kwa wimbi la ukosekanaji wa ajira kwa vijana wanao toka vyuoni na waliopo mtaani
*Kiwanda pia kitaisaidia serikali kupata mapato kutokana na tozo za makato ya mishahara kwa wafanya kazi (VAT)wake na kuipelekea nchi yetu kuzidi kukua kiuchumi.
*Kiwanda pia kitapelekea kwa baadhi ya sekta kupata malipo kutokana na kua kiwanda kitakua kiki tegemea zaidi sekta hizo.mfano shilika la umeme litapata pesa kutokana na kiwanda ,shilika la maji,mashilika ya afya Taasisi za kifeza nazo zitapata asilimia fulani kutokana na kuwepo kwa kiwanda.
Hakika kiwanda ndo kila kitu nchi nyingi zilizo fanikiwa kiuchumi ukiangalia sili ya mafanikio yake kubwa imetokana na viwanda,mfano Uchina,Japan,Marekani ,Vetnam,Ujerumani na nchi nyingine nyingi .
Kwa kweli kiwanda kwangu naona ndio njia pekee ya kukua kiuchumi hapa Tanzania na kitatoa ajira nyingi sana kwa vijana kuliko sekter nyingine .??????ndo kila kitu jamani tuacheni masihara bwana.
ELISHA LEONARD KASANGU
PHONE NUMBER 0685669171
email ;elishaleonard44@yahoo.com
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
ELISHA LEONARD KASANGU
PHONE NUMBER 0685669171
email ;elishaleonard44@yahoo.com
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Lakini pia nisha fungua kampuni yangu inayo fahamika kwa jina la SIFAS INDUSTRIAL COMPANY LTD
ambayo imeweza kutoa ajila kwa vijana wenzangu na imekua kama chachu ya maendeleo kwahio nikipata pesa hizo nitazidi kupanua wigo wa biashara zangu na kuongeza vijana wengine katika kampuni yangu ili tuweze kuukuza uchumi wa nchi yetu.
Hongera Sana.. Vpi bado unahitaji vijana wengine kwenye kampuni yako..??? Kama unahitaji Sema
Lakini pia nisha fungua kampuni yangu inayo fahamika kwa jina la SIFAS INDUSTRIAL COMPANY LTD
ambayo imeweza kutoa ajila kwa vijana wenzangu na imekua kama chachu ya maendeleo kwahio nikipata pesa hizo nitazidi kupanua wigo wa biashara zangu na kuongeza vijana wengine katika kampuni yangu ili tuweze kuukuza uchumi wa nchi yetu.
Hongera Sana.. Vpi bado unahitaji vijana wengine kwenye kampuni yako..??? Kama unahitaji Sema
Kwa majina naitwa beny Nazareth mwanjoka natoka mbeya .nime weza kubuni mashine ya kuangulia vifaranga yani manual incubetor Nili kuwa naomba kuwa na mashine nying ili niweze kuunda vikindi kwa vijana waweze kujikwa mia kiuchumi .pia niweze kukosha kuku kwa wat mbali mbali ili waweze kuepukana na janga la umaskin .asnte kwa mawasiliano 0746172049
Kwa majina naitwa beny Nazareth mwanjoka natoka mbeya .nime weza kubuni mashine ya kuangulia vifaranga yani manual incubetor Nili kuwa naomba kuwa na mashine nying ili niweze kuunda vikindi kwa vijana waweze kujikwa mia kiuchumi .pia niweze kukosha kuku kwa wat mbali mbali ili waweze kuepukana na janga la umaskin .asnte kwa mawasiliano 0746172049
Me nibuni mashine ya kuangulia vifaranga yani manual incubetor kwa jili ya kutotolesha vifaranga vya kuku sasa ninayo moja nashindwa kuunda kikund ili vijana wenzang Wa nufaike.msada wen NUMBER 0746172049
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Me nibuni mashine ya kuangulia vifaranga yani manual incubetor kwa jili ya kutotolesha vifaranga vya kuku sasa ninayo moja nashindwa kuunda kikund ili vijana wenzang Wa nufaike.msada wen NUMBER 0746172049
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Mbona Forms hazionekani kwenye hiyo link?
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
USEFUL LINKS (COSTECH TANZANIA)
Maelezo kwa Kiswahili
Call-for-Innovation-Proposals-HDIF-Final-Kiswahili
Fomu ya Kiswahili
Application-Form-kiswahili
Maelezo kwa Kingereza
Call-for-Innovation-Proposals-HDIF-Final-english
Fomu kwa Kingereza
Application-Form-English
Mbona Forms hazionekani kwenye hiyo link?
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
USEFUL LINKS (COSTECH TANZANIA)
Maelezo kwa Kiswahili
Call-for-Innovation-Proposals-HDIF-Final-Kiswahili
Fomu ya Kiswahili
Application-Form-kiswahili
Maelezo kwa Kingereza
Call-for-Innovation-Proposals-HDIF-Final-english
Fomu kwa Kingereza
Application-Form-English
Asante kwa kupata nafasi hii.. Mimi Agatha Tungaraza, kwa mtazamo wangu wa kuendeleza uchumi wa Tanzania na nchi kiujumla, naona swala kubwa ni kuwekeza sana katika kilimo cha umwagiliziaji bila kutegemea mvua. Kuna sehemu nyingi sana haswa mikoani mfano mkoa wa Mara kuna sehemu watu ulima pamba ila kutokana na kwamba hakuna viwanda vya nguo vya kutosha hapa nchini hivyo basi watu hawa uuza zao hilo kwa ajili ya kupata pesa ya malazi hivyo hakuna faida yoyote ya zao holiday.
*pili naweza ongelea swala la kuelimisha vijana kuhusu kupenda kazi bila kubagua kazi maana kila kazi ina gharama zake…nimeliona hili sana kwa vijana wengi wanapenda kuangalia kazi zenye mtazamo mzuri mfano kuwa boss ofisini ila pasipo kujua kuna gharama pia ila hawatambui kuwa kuwa ujasiriamali ndo nyenzo kuu ya maendeleo ya taiga.
*tatu, napenda ongelea swala ujasiriamali kwa vijana hili pia litasaidia katika maendeleo ya viwanja kwa sababu me naamini akiba haiozi nikiwa na maana mtu akiwa na Kitu kidogo lazima atatamani kikubwa atafanya juhudi kuleta mafanikio makubwa kwa mawasiliano 0744501302.
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
Asante kwa kupata nafasi hii.. Mimi Agatha Tungaraza, kwa mtazamo wangu wa kuendeleza uchumi wa Tanzania na nchi kiujumla, naona swala kubwa ni kuwekeza sana katika kilimo cha umwagiliziaji bila kutegemea mvua. Kuna sehemu nyingi sana haswa mikoani mfano mkoa wa Mara kuna sehemu watu ulima pamba ila kutokana na kwamba hakuna viwanda vya nguo vya kutosha hapa nchini hivyo basi watu hawa uuza zao hilo kwa ajili ya kupata pesa ya malazi hivyo hakuna faida yoyote ya zao holiday.
*pili naweza ongelea swala la kuelimisha vijana kuhusu kupenda kazi bila kubagua kazi maana kila kazi ina gharama zake…nimeliona hili sana kwa vijana wengi wanapenda kuangalia kazi zenye mtazamo mzuri mfano kuwa boss ofisini ila pasipo kujua kuna gharama pia ila hawatambui kuwa kuwa ujasiriamali ndo nyenzo kuu ya maendeleo ya taiga.
*tatu, napenda ongelea swala ujasiriamali kwa vijana hili pia litasaidia katika maendeleo ya viwanja kwa sababu me naamini akiba haiozi nikiwa na maana mtu akiwa na Kitu kidogo lazima atatamani kikubwa atafanya juhudi kuleta mafanikio makubwa kwa mawasiliano 0744501302.
Please soma vizuri maelekezo, Apply kupitia Form zilizowekwa hapo juu. Ahsante endelea kutembelea https://bangomagz.com/
NIkiasha apply natuma kwenda kwenye EMAIL gani?
NIkiasha apply natuma kwenda kwenye EMAIL gani?
Asanteni kwa nafasi hii.Mimi Agatha Tungaraza napenda kuchangia mawazo na mtazamo wangu katika kukuza na kuendeleza maendeleo ya kiuchumi nchini kama ifuatavyo:
*kwanza kabisa napenda kuongelea swala la kilimo ambapo hakuna kiwanda kitakachoendelea pasipo kilimo hivyo basi tukiwekeza sana nguvu zetu Kwenye kilimo
tutapelekea maendeleo ya viwanda na maendeleo kiujumla kulingana na utafiti wangu nilioufanya katika mkoa wa Mara nimeona watu wengi katika mkoa huo wanapendelea kilimo kama sehemu ya kipato chao kidogo katika hali ya kila siku ila changamoto Kubwa kwa watu hawa wanakosa soko la biashara kwa mfano Katika mkoa huo kuna kilimo cha mazao kama pamba,mpunga n. K hivyo zao kama pamba hukosa soko kwa wakulima Wale hivyo basi inawabidi wauze kwa bei ya hasara ili kusudi tu wapate pesa ya malazi tu ya kila siku pasipo faida nyingine.. Ni vyema tukawekeza Kwanzaa katika kilimo cha umwagiliziaji (irrigation system) bila kutegemea mvua Pekee.
*pili katika kuendeleza maendeleo ni vyema tukiwekeza katika elimu ya ujasiriamali kwa vijana kwa sababu vijana wengi ubagua kazi kwa sababu ya mitazamo yao binafsi ila tukiwaamasisha vijana wenzangu kuhusu biashara ndogo ndogo tutaleta maendeleo kwa sababu naamini haba na haba ujaza kibaba pia hakuna mafanikio ya mkupuo Pole Pole tutafika tutakapo nikiwa na maana ya kwamba biashara ndogo ndogo ni msingi na nguzo pia kwa maendeleo makubwa.
kwa mawasiliano zaidi 0744501302
Asanteni kwa nafasi hii.Mimi Agatha Tungaraza napenda kuchangia mawazo na mtazamo wangu katika kukuza na kuendeleza maendeleo ya kiuchumi nchini kama ifuatavyo:
*kwanza kabisa napenda kuongelea swala la kilimo ambapo hakuna kiwanda kitakachoendelea pasipo kilimo hivyo basi tukiwekeza sana nguvu zetu Kwenye kilimo
tutapelekea maendeleo ya viwanda na maendeleo kiujumla kulingana na utafiti wangu nilioufanya katika mkoa wa Mara nimeona watu wengi katika mkoa huo wanapendelea kilimo kama sehemu ya kipato chao kidogo katika hali ya kila siku ila changamoto Kubwa kwa watu hawa wanakosa soko la biashara kwa mfano Katika mkoa huo kuna kilimo cha mazao kama pamba,mpunga n. K hivyo zao kama pamba hukosa soko kwa wakulima Wale hivyo basi inawabidi wauze kwa bei ya hasara ili kusudi tu wapate pesa ya malazi tu ya kila siku pasipo faida nyingine.. Ni vyema tukawekeza Kwanzaa katika kilimo cha umwagiliziaji (irrigation system) bila kutegemea mvua Pekee.
*pili katika kuendeleza maendeleo ni vyema tukiwekeza katika elimu ya ujasiriamali kwa vijana kwa sababu vijana wengi ubagua kazi kwa sababu ya mitazamo yao binafsi ila tukiwaamasisha vijana wenzangu kuhusu biashara ndogo ndogo tutaleta maendeleo kwa sababu naamini haba na haba ujaza kibaba pia hakuna mafanikio ya mkupuo Pole Pole tutafika tutakapo nikiwa na maana ya kwamba biashara ndogo ndogo ni msingi na nguzo pia kwa maendeleo makubwa.
kwa mawasiliano zaidi 0744501302
Safi sana wakuu Mimi nimesoma na nimeelewa na tayari nimeshadownlod form naelekea kuijaza na kutuma. Kwa anayetaka kushiriki sitakuwa mchoyo kama hajafanikiwa kudownloa formu anifuate WhatsApp kwa no 0788868602 nimtumie tupiganie hii fursa.
Pia napenda kuuliza kwamba je unadownload form na kuscan kisha kutuma au kuna uwezekano wa kuleta physically ofisini, na kama upon ni wapi? (Abel Sabuni – Dar es salaam, 0658868602)
ASANTE
Safi sana wakuu Mimi nimesoma na nimeelewa na tayari nimeshadownlod form naelekea kuijaza na kutuma. Kwa anayetaka kushiriki sitakuwa mchoyo kama hajafanikiwa kudownloa formu anifuate WhatsApp kwa no 0788868602 nimtumie tupiganie hii fursa.
Pia napenda kuuliza kwamba je unadownload form na kuscan kisha kutuma au kuna uwezekano wa kuleta physically ofisini, na kama upon ni wapi? (Abel Sabuni – Dar es salaam, 0658868602)
ASANTE
Kuna linki ya fomu pale chini
Samahani, hivi hii nambavya utambulisho wa mshiriki tunaipataje?
Kuna linki ya fomu pale chini
Samahani, hivi hii nambavya utambulisho wa mshiriki tunaipataje?
innovationfund@costech.or.tz
innovationfund@costech.or.tz
Vizuri sana Kiongozi KWA hil8. Sina la kusema nawapongeza sana
Vizuri sana Kiongozi KWA hil8. Sina la kusema nawapongeza sana
Naomba kuuliza,je application ya mjasiliamali binafsi bila kuwa na kampuni au kuwa kwenye taasisi itapokelewa? Ikiwa atapata udhaminj wa taasisi yoyote ya Kisheria.
Naomba kuuliza,je application ya mjasiliamali binafsi bila kuwa na kampuni au kuwa kwenye taasisi itapokelewa? Ikiwa atapata udhaminj wa taasisi yoyote ya Kisheria.
Wajasiliamali wadogo tunaoanza pia tupatiwe elimu na ujuzi zaidi kupitia masomo ili kutuongezea ufanisi Wa kibiashara.
Wajasiliamali wadogo tunaoanza pia tupatiwe elimu na ujuzi zaidi kupitia masomo ili kutuongezea ufanisi Wa kibiashara.
Comments are closed.