DEREVA WA MASHUA/VIVUKO DARAJA LA II at Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

by Udahiliportaldaily

POST DEREVA WA MASHUA/VIVUKO DARAJA LA II – 1 POST
POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS
EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe
APPLICATION TIMELINE: 2021-05-07 2021-05-19
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.Kufunga na kufungua kamba za mashua/kivuko;

ii.Kuchunga usalama wa abiria na magari yaliyomo ndani ya mashua/vivuko;

iii.Kupanga abiria au magari kwenye mashua/vivuko;

iv.Kuendesha na kuongoza mashua/vivuko;

v.Kutunza daftari za safari ya mashua/vivuko

vi.Kuhakikisha kwamba injini za vivuko zipo katika hali nzuri ya kufanya kazi; na

vii.Kuangalia mafuta na vyombo vingine vya kufanyia kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa Waliohitimu Mtihani wa Kidato cha Nne, wenye ujunzi wa kuendesha na kutunza mashua/vivuko uliothibitishwa na Chuo cha Dar es salaam Marine Institute au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali kwa muda usiopungua miaka miwili; na waliofuzu mafunzo ya miezi sita ya uokoaji wa maisha majini, kuogelea na kupanga watu na magari kwenye mashua/vivuko.

REMUNERATION TGOS A.

The deadline for submitting the application is 19 May 2021.

CLICK HERE TO APPLY

Related Posts

Adblock Detected

Please support us by disabling your AdBlocker extension from your browsers for our website.