KATIBU SHERIA DARAJA LA II – 35 POST at Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS)

by Udahiliportaldaily

POST DETAILS

KATIBU SHERIA DARAJA LA II – 35 POST

EMPLOYER  Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS)
APPLICATION TIMELINE: 2023-02-13 2023-02-19

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kupokea nakala za kumbukumbu za Mahakama zinazohusu mashauri ya jinai;

ii. Kuweka kumbukumbu (diary) ya tarehe ya kusikiliza Mashauri, Kuwasilisha hati mbalimbali mahakamani na pande zinazohusika;

iii. Kufuatilia hati zinazohitajika katika mashauri ya jinai;

iv. Kutunza majalada ya kesi za jinai;

v. Kupokea ratiba ya mashauri (cause listing), kuandaa majalada yanyohusika, na kuyapeleka kwa Mkuu wa Sehemu kwa ajili ya kuwapangia Mawakili wa Serikali;

vi. Kutunza majalada ya kesi za jinai;

vii. Kuweka Kumbukumbu ya Sheria na Miswada ya Sheria ndogondogo; na

viii. Kufanya kazi nyingine kama atakavyoelekezwa na Mkuu wake wa kazi

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa Wahitimu wa kidato cha nne/sita wenye Stashahada ya Sheria (Diploma in Law) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.

REMUNERATION AGCS 1.1

APPLY HERE

 

Related Posts

Adblock Detected

Please support us by disabling your AdBlocker extension from your browsers for our website.